Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

OSHA yasisitiza waajiri kuitumia teknoloji.

Monday , 1st May , 2023

Ikiwa ni siku ya maadhimisho ya wafanyakazi duniani wakala wa usalama na afya mahala pa kazi OSHA kupitia kwa mtendaji mkuu imetoa wito kwa waajiri kuweka mifumo imara ya ulinzi ikiwemo kupitia teknolojia kuhakikisha maeneo ya kazi yanakuwa salama.

Awali akitoa wito katika maadhimisho hayo mjini Morogoro Waziri wa kazi,vijana,ajira na wenye ulemavu prof Joyce Ndalichako amewataka waajiri kutimiza matakwa ya sheria afya na usalama mahala pa kazi katika kulinda wafanyakazi akibainisha kuwa afya ni mtaji katika taifa lolote lile.

'Ni muhimu sana waajiri wakakumbuka katika kipindi hiki ambacho nchi inavutia uwekezaji ni vyema sheria ya afya na usalama mahala pakazi ikatekelezwa'.Prof Ndalichak

Kwa upande wake mwakilishi wa shirika la kazi duniani ILO amesema ni wajibu wa nchi kutekeleza mikataba ya kimataifa iliyoingiwa inayohusu haki na madai ya wafanyakazi ili kuongeza ufanisi katika maeneo ya kazi.

Hata hivyo mtendaji mkuu kutoka OSHA Khadija Mwenda amesema kuna program mbali mbali zimeanzishwa na kuwakumbusha waajiri kuzitumia kwenye maeneo yao ya kazi ili kupata matokeo chanya kila upande akisisitiza afya na usalama kazini ni msingi imara kwa maendeleo.

'kuna program mbalimbali wakala tumeanzisha ambazo kimsingi zimelengakuleta ufanisi na usalama mahala pa kazi hivyo ni sasa waajiri wakapendezwa zaidi kutumia mifumo ya kisasa'..amesema Khadija mwenda-Mtendaji Mkuu -OSHA

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil