
Hayo yameeleezwa na Mkuu wa kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano BMT Frank Mgunga amesema kuwa mchakato ambao watauweka katika uchgauzi huo utakuwa umezingatia misingi ya utawala bora katika Michezo.
'' Wadau wowote wenyewe sifa wajitokeze kuchukua fomu pindi tarehe ya uchaguzi itakapotangazwa '' Frank Mgunga
Aidha Mgunga ametoa wito kwa Vyama na Mashirikisho ya michezo nchin kujisajili ili waweze kuwaingiza katika mfumo wa Michezo.