
Picha ya Ibraah
Baada ya kumaliza kikao hicho na BASATA Ibraah amezungumza na waandishi wa habari anasema
"Nashukuru Mungu limefika kwenye mikono ya walezi wetu na hivi karibuni litakuwa sawa. Hii ni sheria na hii ni Serikali itaangalia wapi kuna haki".
Taarifa za awali ambazo alishea Ibraah anadai anatakiwa alipe Tsh Bilioni 1 ili aweze kutoka Konde Gang Music.