
Haya Mambo matano (5) ambayo ameyafanikisha msanii Rayvanny ambayo yamekuwa yakisahaulika kutajwa.
1: Rayvanny ni msanii Pekee kutoka Tanzania ambaye anamiliki tuzo ya BET katika kipengele cha Viewer's choice Best New International Act ambayo alishinda mwaka 2017.
2: Msanii wa kwanza Afrika kutumbuiza katika jukwaa la Mtv Europe Music Awards (MtvEMA 2021) pamoja na majukwaa mengine makubwa Ulimwenguni.
3:Miongoni mwa Wasanii wenye kolabo kubwa kimataifa ambazo ameshirikiana na wasanii kama Gims,Maluma,NorahFatei,FerreGola na wengine wengi.
4: Msanii wa pili Tanzania kuwa na wafuasi wengi katika mtandao wa Youtube ana wafuasi Milioni 5.79, nazaidi ya watazamaji Bilioni 1.3
5: Wimbo wa Mama Tetema kuwania Tuzo za Grammy (Best Latino Pop Album) akiwa ameshirikishwa na Msanii kutoka Colombia .