Picha ya Dudubaya na Mr Nice
"Huyu mtu wenu anayejiita Dudubaya akili zake sio timamu, unawezaje kumtukana mtoto wako mbele ya camera? na unajiita konk master na ulipigwa na kikosi cha mizinga".
"Sikatai ulinitegua kiuno lakini na wewe baada ya kunivunja kiuno ukapigwa na kuvuliwa nguo mbele za watu" ameandika Mr Nice.
Wawili hao Mr Nice na Dudubaya hawana uhusiano mzuri tangu zamani sababu ya ugomvi wao wa muda mrefu wa kimuziki.




