Picha ya muigizaji Mutrah
“Sisi wanaume ndio inafaa zaidi kuwapa zawadi wanawake, Mwanamke akikupa una appreciate japo hatuchukulii kwa ukubwa sana kama wao, kwahiyo tusipowapa inawaumiza” - Mutrah
Pia ameongeza kusema yeye mwanamke wake ni mmoja tu na ana uhakika kwamba ameshapostiwa katika kuadhimisha siku hii ya wapendanao.




