CHADEMA wasisitiza kutowatambua kina Mdee

Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Benson Kigaila

Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimefafanua hatua walizozipitia hadi kufikia uamuzi wa kuwavua uanachama wabunge 19 wa viti maalum (CHADEMA), huku wakisisitiza kuwa hawataingilia taratibu zinazoendelea Mahakamani. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS