Rekodi zambeba Jokic,MVP - NBA
Alama 875 alizozipata nyota wa Denver Nuggets, Nikola Jokic zimemfanya kutangazwa kwa mara ya pili mfululizo kuwa mchezaji bora wa msimu wa NBA yaani MVP akiwapiku nyota wawili kutoka Philadelphia 76ers Joel Embiid na Giannis Antetokounmpo wa Milwaukee Bucks.