IGP Sirro atuma salamu kwa 'Panya road'
Siku moja baada ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Hamad Masauni kutoa agizo kwa Jeshi la Polisi kuwakamata Panya road, Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro ametoa salamu kwa kikundi hicho cha Panya road kuacha kujihusisha na vitendo vya uvunjifu wa amani nakwamba Jeshi la Polis