Liverpool yafuzu fainali ya 10 Ulaya
Klabu ya Liverpool ya England imefuzu fainali ya Ligi ya mabingwa barani ulaya kwa ushindi wa jumla wa mabao 5-2 dhidi ya Villarreal ya Hispania kwenye michezo miwili ya hatua ya nusu fainali. Hii ni mara baada ya kushinda mchezo wa mkondo wa pili jana usiku kwa mabao 3-2.