Pablo: Tumefanya makosa yaliyotugharimu

Kocha Mkuu wa Simba Pablo Franco

Kocha Mkuu Pablo Franco, ameweka wazi kuwa wamefanya makosa ya kiulinzi yaliyoifanya Namungo kupata mabao mepesi katika mchezo wao wa Ligi Kuu ya NBC uliomalizika kwa sare ya mabao 2-2 katika Uwanja wa Ilulu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS