Liverpool yafuzu fainali ya 10 Ulaya

Liverpool imefuzu fainali ya ligi ya mabingwa barani ulaya kwa mara ya 3 chini ya kocha Jurgen Klopp

Klabu ya Liverpool ya England imefuzu fainali ya Ligi ya mabingwa barani ulaya kwa ushindi wa jumla wa mabao 5-2 dhidi ya Villarreal ya Hispania kwenye michezo miwili ya hatua ya nusu fainali. Hii ni mara baada ya kushinda mchezo wa mkondo wa pili jana usiku kwa mabao 3-2.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS