Mchezo dhidi ya Namungo mgumu kwetu- Kocha Pablo
Ligi Kuu soka Tanzania bara NBC Premier League inaendela leo kwa mchezo mmoja ambapo klabu ya Namungo FC watakuwa wenyeji wa Saimba SC. Mchezo huu unachezwa Saa 10:00 Jioni uwanja wa Ilulu Mkoani Lindi.