Kijana akatwa vidole Dar es salaam Kijana Mohammed Rajabu (18) mwenye ualbino mkazi wa mtaa wa Mferejini kata ya Manzese Dar es salaam amenusurika kupoteza mkono wake baada ya kukatwa vidole na watu wasiojulikana. Read more about Kijana akatwa vidole Dar es salaam