Mkutano mkuu wa CAF kuleta utalii Arusha

(Rais wa TFF Wallace Karia)

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF) Wallace Karia amefanya mkutano na Uongozi wa Mkoa wa Arusha juu ya maandalizi ya kufanyika kwa mkutano mkuu wa Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika CAF.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS