Tutacheza kwa Jihadi Jumamosi-Manara

(Afisa habari wa Yanga Haji Manara)

Ikiwa imesalia siku mbili kuelekea kwa mchezo wa Kariakoo Derby baina ya Yanga dhidi ya Simba ,Afisa habari wa Yanga Hajji Manara amesema wataingia kwenye mchezo huo wakitumia mfumo wa jihadi(kupambana) ili kupata ushindi kwenye mchezo huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS