"Bajaji na bodaboda ziingie mjini"- Bashungwa Waziri wa TAMISEMI Innocent Bashungwa Waziri wa TAMISEMI Innocent Bashungwa, amemuelekeza Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla, kusimamia usitishwaji wa zuio la bodaboda na bajaji kuingia katikati ya Jiji la Dar es Salaam. Read more about "Bajaji na bodaboda ziingie mjini"- Bashungwa