TFF na Semina ya siku tatu kwa Waamuzi

(Baadhi ya Waamuzi wa Ligi Kuu NBC Tanzania 2021-2022)

Shirikisho la soka nchini Tanzania TFF, Jumanne ya Leo February 15, 2022 limeanza rasmi kuendesha semina ya siku tatu kwa waamuzi wote wanaochezesha Ligi Kuu NBC Tanzania kwa ajili ya kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS