Pochettino achukizwa na kichapo cha mabao 3-1
Kocha wa klabu ya PSG Maurcio Pochetino ameweka wazi kuwa amekasirishwa na matokeo ya kipigo cha mabao 3-1 walichokipata kutoka kwa Real Madrid kwenye mchezo wa hatua ya 16 bora dhidi ya Real Madrid na kupelekea kutolewa kwenye kwenye michuano hiyo na Madrid imefuzu hatua ya robo fainali.

