Djokovic ajiondoa Indian Wells Masters

(Nyota wa tennis Novak Djokovic)

Nyota wa tennis Mserbia Novak Djokovic amejiondoa kushiriki kwenye michuano miwili ya Indian Wells na Miami Open 2022 yanayofanyika mjini California nchini Marekani kutokana na sheria za udhibiti wa Uviko 19 zilizopo nchini humo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS