Greenwood azidi kuwa matatani 

(Mason Greenwood kwenye mchezo wa EPL dhidi ya Westham Msimu huu.)

Polisi Jijini Manchester Nchini England, wameongeza muda zaidi wa kufanya mahojiano maalum na nyota wa Manchester United, Mason Greenwood (20) ambaye anakabiliwa na tuhuma za ubakaji na kumtishia kumuua mpenzi wake Harriet Robson.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS