Martial akanusha kauli ya Rangnick Mshambuliaji wa Manchester United, Anthony Martial, amekanusha madai ya Kocha Mkuu Ralf Rangnick kwamba hakutaka kuwa sehemu ya kikosi kilichotoka sare ya kufungana mabao 2-2 dhidi ya Aston Villa. Read more about Martial akanusha kauli ya Rangnick