Ruvu Shooting kuumana na Mtibwa Sugar, leo jioni

Mshambuliaji wa Mtibwa Salum Kihimbwa akipiga mkwaju wa penati kwenye mchezo wa Ligi dhidi ya Coastal Union

Raundi ya 12 ya Ligi kuu soka Tanznaia bara inaanza kutimua vumbi leo kwa mchezo mmoja, amapo Ruvu Shooting watakuwa wenyeji wa Mtibwa Sugar katika Simba la Mabatini mkoani Pwani Saa 10:00 Jioni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS