Anayetuhumiwa kumuua Mama yake aanza kutoa maelezo

Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha Justine Masejo

Polisi mkoa wa Arusha wamesema kwamba mtoto anayetuhumiwa kumuua mama yake ambaye alikuwa mfanyabiashara wa madini aitwaye Ruth Mmasi, na kisha kumtupa kwenye shimo la choo, anaendelea kutoa ushirikiano kwa polisi hali iliyopelekea kupata baadhi ya vielelezo vinavyohusiana na tukio hilo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS