Bambucha aomba msaada baada ya kukatwa mguu Picha ya Bambucha baada ya kukatwa mguu Kupitia EATV & EA Radio Digital, msanii wa filamu Omary Said 'Bambucha' ameomba msaada baada ya kukatwa mguu wake wa kulia uliosababishwa na maradhi ya kisukari. Read more about Bambucha aomba msaada baada ya kukatwa mguu