Rais Samia na Ndugai wazungumza leo 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa na Mhe. Job Ndugai

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, leo Januari 12, 2022, amekutana na kuzungumza na aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai Ikulu ya Chamwino Dodoma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS