Bambucha aomba msaada baada ya kukatwa mguu

Picha ya Bambucha baada ya kukatwa mguu

Kupitia EATV & EA Radio Digital, msanii wa filamu Omary Said 'Bambucha' ameomba msaada baada ya kukatwa mguu wake wa kulia uliosababishwa na maradhi ya kisukari.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS