Kocha Gernot Rohr atimuliwa Nigeria

(Aliyekuwa kocha wa Nigeria, Gernot Rohr)

Nchi za Nigeria na Sudan zimewafuta kazi makocha wao kuelekea kwenye michuano ya mataifa huru ya Africa 'AFCON' ambayo inataraji kuanza January 9-6 February 2022 nchini Cameroon.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS