Iran yatoa msimamo kuhusu kusitisha mapigano Iran inasema iko tayari kuacha mashambulio, iwapo Israel nayo itaacha kuishambulia, saa chache baada ya rais wa Marekani Donald Trump kutangaza kuwa nchi hizo mbili zilikuwa zimekubaliana kusitisha vita. Read more about Iran yatoa msimamo kuhusu kusitisha mapigano