Mchungaji auawa kisa milioni 2

Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) dayosisi ya Iringa, Elizabeth Amos, aliyeuawa

Jeshi la Polisi mkoa wa Iringa linamshikilia Naftali Lulandala, mkazi wa kijiji cha Uhambingeto kwa tuhuma za mauji ya mchungaji wa KKKT dayosisi ya Iringa (Pichani) Elizabeth Amos, baada ya kuingia tamaa ya fedha na kumpora marehemu huyo kiasi cha shilingi milioni 2 kabla hajamuuwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS