Uhuru Mchanganyiko wapokea taulo za kike Wanafunzi wa shule ya Uhuru Mchanganyiko wakifurahi na mtangazaji Vaniladama Kampeni ya Namthamini 2021 imefanikiwa kugawa taulo za kike kwa wanafunzi wenye uhitaji katika Shule ya Msingi ya Uhuru Mchanganyiko iliyopo Ilala Jijini Dar es Salaam. Read more about Uhuru Mchanganyiko wapokea taulo za kike