Uhuru Mchanganyiko wapokea taulo za kike

Wanafunzi wa shule ya Uhuru Mchanganyiko wakifurahi na mtangazaji Vaniladama

Kampeni ya Namthamini 2021 imefanikiwa kugawa taulo za kike kwa wanafunzi wenye uhitaji katika Shule ya Msingi ya Uhuru Mchanganyiko iliyopo Ilala Jijini Dar es Salaam. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS