Samatta azaliwa upya, Antwerp yamuangusha EUROPA
Mshambuliaji na Nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta ameifungia timu yake ya Royal Antwerp bao dakika 88’ na kulazimisha sare ya 2-2 dhidi ya Eintranch Frankfurt usiku wa jana kwenye michuano ya Ligi ya Europa.