Samatta azaliwa upya, Antwerp yamuangusha EUROPA

(Mshambuliaji wa Royal Antwerp, Mbwana Samatta)

Mshambuliaji na Nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta ameifungia timu yake ya Royal Antwerp bao dakika 88’ na kulazimisha sare ya 2-2 dhidi ya Eintranch Frankfurt usiku wa jana kwenye michuano ya Ligi ya Europa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS