Waziri Mkuu aagiza zawadi aliyopewa mke wake iuzwe
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameagiza zawadi aliyopewa mke wake Mama Mary Majaliwa na mkoa wa Manyara kwa kushirikiana na kampuni ya Tanzanite Forever Lapidary (T) LTD ambayo ni pete ya Tanzanite iuzwe ili fedha zitumike kwa ajili ya kujenga bweni la wanafunzi wa wilaya ya Simanjiro.

