Simba yamfuta kazi Didier Gomes da Rosa
Klabu ya Simba imethibitisha kuridhia ombi la Kocha Mkuu, Didier Gomnes da Rosa la kuachana na Simba kuanzia leo baada ya tathmini na majadiliano ya kina pande zote zimeafikiana kwa mujibu wa Mkataba na manufaa ya wote.