Simba yamfuta kazi Didier Gomes da Rosa

Didier Gomes da Rosa

Klabu ya Simba imethibitisha kuridhia ombi la Kocha Mkuu, Didier Gomnes da Rosa la kuachana na Simba kuanzia leo baada ya tathmini na majadiliano ya kina pande zote zimeafikiana kwa mujibu wa Mkataba na manufaa ya wote.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS