"Nilifanya maamuzi mabaya" - Andy Murray
Mchezaji wa Tenisi, Andy Murray wa England, amekiri kuwa kupoteza umakini na kuzidiwa kimbinu na Diego Schwartzman, kumepelekea kupoteza mchezo wa hatua ya 16 bora michuano ya Antwerp ATP inayofanyika nchini Ubeligiji.