Simba SC watamba usiku wa tuzo za TFF

Baadhi ya wachezaji wa Simba wakishika tuzo zao baada ya kuibuka washindi.

Mabingwa watetezi wa ligi kuu, klabu ya Simba imefanikiwa kuzoa tuzo nyingi, tuozo 6 kwenye hafla ya utoaji tuzo ambayo ilifanyika usiku wa jana Oktoba 21, 2021 kwenye ukumbi wa Mwl JK Nyerere Jijini Dar es salaam. Yanga iliondoka na tuzo 2 ilhali Azam, Coastal na Mbeya City walipata moja.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS