Mwela aeleza mafanikio siku ya kwanza ya mkutano

Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya TEHAMA Tanzania Samson Mwela (kushoto) akifanya mahojiano na Irene Tillya,

Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya TEHAMA Tanzania Samson Mwela amesema siku ya kwanza ya Kongamano la Tano la Mkutano Mkuu wa Tehama 2021 imekuwa yenye mafanikio makubwa baada ya wawekezaji mbalimbali kukubali kushirikiana na serikali katika kukuza Tehama nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS