Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu, Shemsa Mohamed Seif Farai
Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Simiyu, wametakiwa kila mmoja kulima ekari moja ya shamba darasa la zao la pamba, ili kufikia lengo la mkoa huo la kukusanya tani laki tano ya zao hilo la kiuchumi.