''Tanzania itapata chanjo asilimia 60'' - Msigwa

Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Ndg. Gerson Msigwa

Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Ndg. Gerson Msigwa amesema Serikali imejiwekea mkakati wa angalau kupata chanjo asilimia 60 ili kuhakikisha inapambana na ugonjwa wa Uviko-19.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS