RC Dar ashangazwa na ukamataji ovyo wa magari

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla, ameonesha kukasirishwa na utaratibu usiofaa wa ukamataji wa magari kwenye maegesho yasiyo rasmi 'wrong parking' ambapo ameelekeza kuitishwa kikao cha pamoja baina yake, Wakurugenzi wa Halmashauri na TARURA ili kupatia ufumbuzi jambo hilo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS