Kauli ya Prof. Mkenda kuhusu bei ya mbolea

Waziri wa Kilimo Mhe Prof. Adolf Mkenda akizungumza na waandishi wa habari wakati alipofanya ziara ya kikazi ya siku moja katika bandari ya Dar es salaam leo, 20 Julai 2021 kukagua hali ya upakuaji wa mbolea.

Waziri wa Kilimo Mhe. Prof. Adolf Mkenda ametoa rai kwa wafanyabiashara wa mbolea nchini kuuza mbolea mapema badala ya kuhifadhi mbolea wakidhani kuwa bei ya mbolea itapanda.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS