Sports Countdown Julai 21, PSG wakomaa na Pogba

Paul Pogba

Stori sita (6) za michezo (Sports Countdown) leo asubuhi Julai 20, 2021. kwenye Supa Breakfast ya East Africa Radio kuanzia Saa 1:15 Asubuhi, ambapo kila stori inatokana na namba 1 mpaka 6. Na moja ya stori kubwa leo ni PSG wapanda dau kumsajili Pogba na michezo ya Olimpiki yagomewa Japan.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS