Wanafunzi 11 mbaroni kwa tuhuma za kuchoma moto

Picha baadhi ya eneo lilioharibiwa na moto katika Shule ya Sekondari Geita (picha kutoka mtandaoni)

Jeshi la Polisi mkoa wa Geita linawashikilia wanafunzi 11 akiwemo msichana mmoja kwa tuhuma za kuchoma moto shule ya sekondari Geita mara tatu tofauti, Julai 5, 6 na 14 huku likidai chanzo cha kufanya hivyo ni upendeleo waliokuwa wanaupata wanafunzi wanaokaa bweni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS