Razak Siwa aipaisha Dodoma Jiji

Kipa wa magolikipa wa kikosi cha Yanga, Mkenya Razak Siwa (wa kwanza kushoto) akiwa na Said Ntibazonkiza na Metacha Mnata baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa Dodoma wakitokea Jijini Dar es Salaam.

Kocha wa magoli kipa wa klabu ya Yanga, Razak Siwa ameipaisha klabu ya Dodoma Jiji na kusema ni timu nzuri hivyo hawana budi kupambana ili kusaka alama tatu kwenye mchezo wa VPL utakaowakutanisha wawili hao kesho Julai 18, 2021 kwenye dimba la Jamhuri Jijini Dodoma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS