Shigongo amuomba Rais kumuondoa DED wa Buchosa

Mbunge wa Jimbo la Buchosa Eric Shigongo

Mbunge wa Jimbo la Buchosa Eric Shigongo, amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, kuwahamisha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Buchosa pamoja na Idara ya uhasibu katika Halmashauri hiyo, akiwatuhumu kwamba wamekuwa wakiibia fedha halmashauri hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS