Afrika Kusini hakuna Mtanzania aliyeathiriwa

Polisi wakikabiliana na uporaji katika maduka nchini Afrika Kusini

Balozi wa Tanzania nchini Afrika ya Kusini Meja Jenerali (Mst) Gaudence Milanzi, amesema kuwa hadi sasa bado hajapokea taarifa rasmi kama kuna Mtanzania yeyote aliyeshiriki katika maandamano yanayoendelea nchini humo ama kuathiriwa biashara zake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS