Fury na Wilder kuzichapa tena Oktoba 9

Tyson Fury (kulia) dhidi ya Deontay Wilder (kushoto) walipokuwa wakionyeshana ubabe kwenye pambano lililopita.

Pigano la tatu la uzito wa juu Duniani kati ya Tyson Fury dhidi ya Deontay Wilder limepangwa kufanyika tarehe 9 Oktoba Mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS