Waganga 87 wajenga madarasa mawili Simiyu
Waganga 87 wa tiba asilia wamefanikiwa kujenga vyumba viwili vya madarasa kwa kutumia fedha zao za uganga, katika Shule ya Sekondari ya Chinameli Wilaya ya Itilima mkoani Simiyu, ili kuunga mkono jitihada za Serikali kuinua kiwango cha elimu wilayani humo.
