Waganga 87 wajenga madarasa mawili Simiyu 

Picha: Vyumba vya madarasa vilivyojengwa na waganga wa tiba asilia mkoani Simiyu.

Waganga 87 wa tiba asilia wamefanikiwa kujenga vyumba viwili vya madarasa kwa kutumia fedha zao za uganga, katika Shule ya Sekondari ya Chinameli Wilaya ya Itilima mkoani Simiyu, ili kuunga mkono jitihada za Serikali kuinua kiwango cha elimu wilayani humo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS