Faida ya ziara za Rais Samia ndani ya siku 100

Rais wa Tanzania Samia Suluhu (kushoto) na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta (kulia)

Kupitia kipindi maalum cha siku 100 za Rais Samia Suluhu Hassan kilichoruka Alhamisi Julai 1, 2021 saa 3:00 usiku ndani ya East Africa Television, Mwanadiplomasia Severin Kapinga, ameeleza faida za ziara za Rais Samia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS