Mallya afunguka kuhusu Mama Mchungaji na Sheikh
Wahenga walisema mapenzi majani huota popote na hayachagui nchi, rangi, kabila na dini lakini mshauri wa masuala ya mahusiano Rosemary Mallya amesema usiingie kwenye ndoa kama mmoja wa wazazi wenu ni Mchungaji au Sheikh.