Mourinho kuibomoa Spurs

Kocha Jose Mourinho akiwa na Emile-Pierre Hojbjerg walipokuwa wote kwenye klabu ya Tottenham Hotspurs.

Kocha mpya wa AS Roma Jose Mourinho, amepanga kukibomoa kikosi cha Tottenham kwa kuwasajili wachezaji wake wa zamani kama Eric Dier na Pierre-Emile Hojbjerg, pamoja na kujaribu kutaka kumrudisha Juan Mata kufanya nae kazi, wakati anaandaa orodha ya wachezaji anaowataka  katika kuunda kikos

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS