Coastal wakanusha, kumfuta kazi kocha Mgunda

Kocha Juma Mgunda (katika waliosimama) akiwa na wachezaji wa Coastal Union

Klabu ya Coastal Union ya Tanga kupitia kwa katibu mkuu wake Rashid Mgweno, imekanusha taarifa za kumfuta kazi kocha mkuu wa kikosi hicho Juma Mgunda na imesisitiza kuwa bado wanamipango ya muda mrefu na kocha huyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS