Mwinyi atoa tamko mishahara ya watumishi Zanzibar

Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi

Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema serikali ya awamu ya nane imekusudia kushughulikia suala la mishahara kwa watumishi wa umma kama ilivyo kwenye mpango wa awamu iliyopita mara tu uchumi wa nchi utapoimarika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS