"Uzalendo siyo kutukuza asubuhi hadi jioni"- MCT

Katibu Mkuu wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Kajubi Mukajanga

Katibu Mkuu wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Kajubi Mukajanga, amesema kuwa uzalendo kwa nchi siyo kutukuza kuanzia asubuhi hadi jioni bali uzalendo ni kuipenda nchi yako na kuhakikisha mtu anaisema serikali mahali ambapo ataona kuna jambo ambalo halitoleta afya kwa Taifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS